• Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Mafia District Council
Mafia District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais , Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Ardhi, Mipango miji na Maliasili
      • Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
        • Kitengo cha Utamaduni
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Ujenzi na Zima Mmoto
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango na Takwimu
    • Vitengo
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Tehama
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Huduma za jamii
      • Maadili
      • Fedha, Utawala, na Mipango
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Kujua Sheria
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Tehama

UTANGULIZI

Kitengo cha Teknolojia ya Habari  na Mawasiliano (TEHAMA) ni miongoni mwa vitengo sita vinavyojitegemea kilichoanzishwa tarehe 08 Juni, 2011. 

Kazi kuu za kitengo hiki ni kusimamia mifumo yote ya TEHAMA , kufanya ukarabati na ukarabatikinga kwa vifaa vya TEHAMA kutoa vigezo vya manunuzi na ukaguzi wa vifaa vya manunuzi, kutoa mafunzo ya ndani  ya TEHAMA kwa watumishi  na kutoa msaada wa kiufundi kwa watumiaji wa TEHAMA


KAZI ZA KITENGO :-


1.    Kuhakikisha mifumo ya TEHAMA iliyopo katika Halmashauri inafanya kazi kama inavyotakiwa;

2.    Kutoa msaada wa kiufundi kwa watumishi wote wa Halmashauri katika eneo la TEHAMA;

3.    Kutoa mafunzo kwa watumishi wa Halmashauri katika masuala ya TEHAMA zikiwemo programmu mbalimbali;

4.    Kusimamia sera, mikakati na miongozo inayotolewa na Serikali Kuu juu ya uendeshaji wa mifumo, miundombinu na vifaa vya TEHAMA;

5.    Kuibua mahitaji ya mifumo ili iweze kusanifiwa na kisha kutengenezwa6.    Kuchambua na kuainisha huduma zinazoweza kutolewa na mifumo ya kielekroniki katika Halmashauri;


7.    Kuhakikisha miundombinu kiambo (Local Area Network) katika Halmashauri inafanya kazi na mtandao wa intaneti unapatikana;

8.    Kuandaa mpango, bajeti, mpango kazi, mpango mkakati wa kuteleza kazi za TEHAMA katika Halmashauri;

9.    Kutengeneza utaratibu mzuri wa kutunza taarifa na data ili ziweze kutumika wakati wa majanga;

10.    Kufanya na kusimamia matengenezo ya vifaa vyote vya TEHAMA;

11.    Kutafiti na kuchambua matatizo ya vifaa vya TEHAMA na kutoa suluhisho;

12.    Kushirikiana kwa karibu na wataalamu wa TEHAMA wa Mkoa na wa Wizara ili kubadilisha uzoefu na kujengeana uwezo;

13.    Kutoa specification za vifaa kwa ajili ya manunuzi;

14.    Kushiriki katika zabuni za vifaa vya TEHAMA na kuhakiki ubora wake kabla havijaanza kutimika; na

15.    Kuhakikisha Halmashauri ina tovuti na inapatikana wakati wote.



Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA YA KUDUMU May 24, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI August 31, 2021
  • KUITWA KWENYE USAILI April 06, 2022
  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA MAFIA YA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI WA WILAYA YA MAFIA KUANZIA MWEZI MEI, 2018 May 23, 2018
  • Tazama zote

Habari za hivi punde

  • KARIBU MAFIA WAAJIRIWA WAPYA

    July 01, 2022
  • KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI

    February 08, 2022
  • WALIMU WAPATIWA MAFUNZO YA KALENDA YA UTEKELEZAJI MTAALA

    February 07, 2022
  • MGOGORO WA ARDHI WATATULIWA KITONGOJI CHA KICHANGACHUI

    January 28, 2022
  • Tazama zote

Video

Mafia yatakiwa kuimarisha ulinzi dhidi ya uvuvi haramu
Tazama Video zaidi

Viungo vya haraka

  • Home
  • Photo Gallery
  • FAQ
  • Tourism
  • Investment

Viungo vinavyohusiana

  • OR- TAMISEMI
  • OR- Menejimenti Utumishi wa Umma
  • Wizara ya Elimu
  • Baraza la Mitihani Tanzania
  • Tovuti ya Mkoa wa Pwani
  • Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma
  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi
  • Wizara ya Fedha na Mipango

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kilindoni-Bomani Street

    Anuani ya posta: 85

    Simu: 0232010199

    Simu ya mkononi:

    Baruapepe: ded.mafia@pwani.go.tz / ded@mafiadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Katazo
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya tovuti
    • Huduma namba 1

Copyright ©2017 Mafia District Council . All rights reserved.